Kuna mdau atakuja kusema Kocha alipangiwa kikosi na Chawa wa CCM ili kikifunga waimbe mapambio ya Asante Mama 🤪Hii list ya Jana ya wachezaji ...kocha alipangiwa na nani ???
Yaani unaacha mastaa wako nje ??"[emoji47][emoji47].....shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Hapana mkuu [emoji23]...hao watu hawana profession ya mpirakuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia
taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
Wangemsifu kocha na wachezajiNadhani hayo maoni na maswali yamekuja baada ya dk 90 kuisha!
Fikiria kama Starts wangeshinda, unadhani wangekuwa wanasemaje baada ya dk 90?
Hata hao mnaowataka waanze wasingeshindaTuwe wakweli......Kwa kikosi kilichoanza isingewezekana kushinda
Mechi ya Morocco haikua ya kuleta mbwembwe za rotationHuyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?