Zambia wachovu jana katolewa kamasi na Niger kibonde wetu. Tena alikua achapwe hata 5.TUUUNDE TUME KUCHUNGUZA WALIOPANGA LIST YA JANA
SIJUI NA TAKU...WANATUSAIDIAJE ANYWAY///
YANGU BADO UCHUNGUZI UNAENDELEA
NIKOPALE KWA MASAWEEE..
KWA ZAMBIAA HIII LOH
Sawa sawa ,sio mbayaHuyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Labda wanafanya kuleta hamasa"Tunamshukuru Rais wetu Mama Samia kwa kuwa shabiki namba moja nchini,nasi watanzania tujitokeze kwa wingi kuishangilia timu yetu na kumpa mama sapoti kwa anayoyafanya"......ukiona jambo limeingiliwa na hizi siasa chafu na za kijinga....lazima libume tuu,maana vitu vingine hiamuliwa na bidii,akili na utaratibu wa utekelezaji wa hilo jambo. Siasa za ccm kupitia michezo sisi mashabiki hatuzipendi.
siaminiii kabisaaa mpwaaa kumbe mazuzuuZambia wachovu jana katolewa kamasi na Niger kibonde wetu. Tena alikua achapwe hata 5.
Nasimama na kikosi kilichopangwa Jana. Mastaa ndio kitu gani?. Kinachoangaliwa ni Kujitoa kwa mchezaji uwanjani!. Staa asiyejitoa ni galasa tu!Hii list ya Jana ya wachezaji ...kocha alipangiwa na nani ???
Yaani unaacha mastaa wako nje ??"[emoji47][emoji47].....shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Hatuna uwezo wa kuisumbua Team namba moja kwa ubora barani africa.Hapana mkuu.....una SILAHA nzito ...khinzal,,,,, juvelin ....LMG ( Light machine gun) then unatumia AK 47 vitani ???
Kuwaheshimu ndio kumetufanya tupoteze mechi....Kocha aliamua kuwaheshimu hao Morocco kwa kupanga kikosi cha kujilinda kwa dakika 45 za kwanza na kushambulia dakika 45 za kipindi cha pili.
Morocco ni Team bora afrika namba moja na namba 13 duniani.
Walicheza na Brazil friend match baada ya World Cup kumalizika wakawafunga 2-1, kiwango chao kipo juu sana. Kocha wetu hata angepanga kikosi cha namna gani uwezo wa kutufunga walikuwa nao.
Hamasa ya mpira bongo ipo tuu hata bila kumtaja Samia .Labda wanafanya kuleta hamasa
Morocco wenyewe mbona wamecheza kizembe Sana. Wametupiga Mbili Tu!. Wangepiga lile pira lao la kupanda wote na kushuka wote uone kazi. Kongole Sana kwa kocha Kwa kuwapa nafasi vijana wapya waoneshe Vipaji vyao(Morris,Charles,Mwaikenda n.k). Kwa vyovyote vile Jana mimi nimeenjoy sana pira la vijana wetu!.Ndo tumefungwa Sasa ....kinachouma ni kufungwa 2...0 bila hata kuwagusa
Shafi Ni ndumila kuwili ujuwaji mwingi snaa kila kitu anakozoa na kujifanya mtaalamu wa sokoHii list ya Jana ya wachezaji ...kocha alipangiwa na nani ???
Yaani unaacha mastaa wako nje ??"[emoji47][emoji47].....shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Ndio Happ huwa nawashanga sanaNadhani hayo maoni na maswali yamekuja baada ya dk 90 kuisha!
Fikiria kama Starts wangeshinda, unadhani wangekuwa wanasemaje baada ya dk 90?
Ajabu Sana [emoji38],mm huwa sisikilizi wachambuzi hao mpira nauchambuwa mwenyeweHivi watanzania huwa hamuwezi kuchambua mpira wenyewe mpk muwafuate hao mnawaita wachambuzi ? Mutu anatoa maoni yake yeye km yeye mnamuita mchambuzi