Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
Theory moja ambayo huwa nashindwa kuielewa ni vile ambapo tunaweza kuendelea kumsikiliza mtu tunayelalamika kwamba anatuboa, una-tune in Sports Extra ya Clouds FM saa tatu unajua kabisa Shaffii atakuwepo, na atakuboa, kweli anakuboa kesho unarudia tena kusikiliza, hivyo hivyo kila siku.
Bahati nzuri sasa kuna watu wengine wengi ambao wanafanya kama jamaa na unasema kwamba hao ndo bora zaidi yake, lakini hujipi muda wa kuwasikiliza kama unavyosikiliza anayekuboa.
Nakumbuka First Take ya ESPN, nilikuwa simpendi Skip Bayless, lakini kila mara siku namsikiliza na naendelea kulalamika, thanks God alihama ESPN kwa hiyo saa hizi hata simsikilizi kabisa, labda mara moja moja nikijihisi kummiss.
Hapo huwa sielewi kabisa theory yake, kwa nini tusiache kumsikiliza?
Bahati nzuri sasa kuna watu wengine wengi ambao wanafanya kama jamaa na unasema kwamba hao ndo bora zaidi yake, lakini hujipi muda wa kuwasikiliza kama unavyosikiliza anayekuboa.
Nakumbuka First Take ya ESPN, nilikuwa simpendi Skip Bayless, lakini kila mara siku namsikiliza na naendelea kulalamika, thanks God alihama ESPN kwa hiyo saa hizi hata simsikilizi kabisa, labda mara moja moja nikijihisi kummiss.
Hapo huwa sielewi kabisa theory yake, kwa nini tusiache kumsikiliza?