Watangazaji wengi wa michezo bongo ni wanazi na wanakela sana,mtu kama kitenge simba ikifungwa utamskia anavyo furahi anageuka kuwa msemaji wa timu iliyoshinda,hemed kivuyo huyu ndo masaaabuli kabisa anaweza kuipamba yanga kama we ni mgeni wa mambo ya soka unaweza kudhani labda yanga ndo inapngoza ligi ya uingereza,kuna hyu sijui inaitwa lomonga justin,wa uhuru fm,hyu ndo kitumbua kabsa l,sokumoja alikuwa anatangaza game ya yanga sijui na ka timu gani,yanga kwa bahati mbaua wakapata bao,hyu jamaa alijisahau kabsa utasema yiko kwenye vijiwe vya kahawa kwa jinsi alivyoshagilia..!!