Shahada gani ni nzuri kati ya hizi wakuu (Rahisi kujiajiri na kuajiriwa)?

Shahada gani ni nzuri kati ya hizi wakuu (Rahisi kujiajiri na kuajiriwa)?

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Habari za leo wakuu,

Kuna ndugu yangu anataka kujiunga na Masomo ya shahada (Bachelor). Ana machaguo yafuatayo na anatakiwa kuchagua moja kati ya haya.

1. Bachelor of Commerce
2. Bachelor of Computer Applications
3. Bachelor of Commerce
4. Bachelor of Business Administration

Sasa wakuu kati ya shahada hizo ni ipi ambayo ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa?

Au ndio aende VETA tu?
 
Habari za leo wakuu,

Kuna ndugu yangu anataka kujiunga na Masomo ya shahada (Bachelor). Ana machaguo yafuatayo na anatakiwa kuchagua moja kati ya haya.

1. Bachelor of Commerce
2. Bachelor of Computer Applications
3. Bachelor of Commerce
4. Bachelor of Business Administration

Sasa wakuu kati ya shahada hizo ni ipi ambayo ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa?

Au ndio aende VETA tu?
namba 2
 
Habari za leo wakuu,

Kuna ndugu yangu anataka kujiunga na Masomo ya shahada (Bachelor). Ana machaguo yafuatayo na anatakiwa kuchagua moja kati ya haya.

1. Bachelor of Commerce
2. Bachelor of Computer Applications
3. Bachelor of Commerce
4. Bachelor of Business Administration

Sasa wakuu kati ya shahada hizo ni ipi ambayo ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa?

Au ndio aende VETA tu?

Namba 1 na 3 zina tofauti gani?

Kwa ushairi akasome 2 japo sijawahi kuiona kwenye chuo chochote hapa Tz.
 
Back
Top Bottom