Mkuu, hivi vifaa vishaingia nchini tayari? Basi this' a terrible mistake!this was expected na ndio maana wali-procure mapema ili kupata samples za ballot papers
Hivi kuna "KAMATI YA KUIBA KURA" ndani ya sisi em? Na wanalipwa na kodi zetu?
sina hakika kama vishavuka customs ila najua procurement ilishafanyika kitambo and more likely sample watu walishapokeaMkuu, hivi vifaa vishaingia nchini tayari? Basi this' a terrible mistake!
Wajaribu kwenye jimbo langu waone. Mtu atondolewa shingo nakwambia. Ninaahidi kulinda kura zangu kunguvu zangu zote na akili zangu zote na roho yangu yote.
Haya basi wajaribu waone. Walishazoea sasa ndio mwisho wa game. Nasema sasa ndio mwisho wa game ati.
Hakuna askari kujaribu game hili. Tutamalizana nakwambia.
Wajaribu kwenye jimbo langu waone. Mtu atondolewa shingo nakwambia. Ninaahidi kulinda kura zangu kunguvu zangu zote na akili zangu zote na roho yangu yote.
Haya basi wajaribu waone. Walishazoea sasa ndio mwisho wa game. Nasema sasa ndio mwisho wa game ati.
Hakuna askari kujaribu game hili. Tutamalizana nakwambia.
Umenena lililo la kweli. Habari hizi zisiishie JF,zinatakiwa nienee kama kimbunga kuwa kuna mpango kabambe umeandaliwa kuwaibia kura zao wananchi ili wajiandae kuzilinda mapema sio kusubiri uchakachuaji ushafanyika kisha kulalamika.I like this much confidence and boldness my broda!
Sasa nyie akina MF, sambazeni habari katika majimbo yote kuwa kuna hatari kubwa sana ya wizi ili wote wakae mkao wa "moto-stuka"!
Hao wameshajigundua kuwa bila uchakachuaji watakuwa flat!..huh!