Shahada ya Animal Health and Production ina nafasi gani katika ajira?

Shahada ya Animal Health and Production ina nafasi gani katika ajira?

Jeremiah Stephin

Senior Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
118
Reaction score
124
Soko la ajira kada ya mifgo baada ya kumaliza shahada au stashahada ya animal health and production likoje..je kuna usumbufu wa kupata ajira?
kama hujui pita hivi(kimya kimya)
 
Ajira ni janga la kitaifa, ukitegemea kuajiriwa mwisho wa siku utachanganyikiwa. Soma ila ukae ukijua ajira pekee ya uhakika ni kujiajiri.
 
kwa maana nimesikia kuwa ajira hutolewa kwa awamu,na chanzo cha habari hii sio sasa,,nimechaguliwa kusoma kozi tajwa hapo juu hivyo maoni yenu ni muhimu...
 
Pia waweza kubadilisha hiyo course ukaenda nyingine ajira ni janga
 
Soko la ajira kada ya mifgo baada ya kumaliza shahada au stashahada ya animal health and production likoje..je kuna usumbufu wa kupata ajira?
kama hujui pita hivi(kimya kimya)

Kwanza hii shahada ya "animal health and production" umeikuta wapi we kijana ? kwa uelewa wangu ni kwamba hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania (labda kama imeanzishwa mwaka huu).
ninavyojua kuna "diploma in animal health and production" kwa kifupi DAHP ambayo hii ni STASHAHADA.
pia kuna "certificate in animal health and production" kwa kifupi CAHP ambayo hii ni ASTASHAHADA.
-shahada ni degree programmes, mfano bachelor in animal sciences, veterinary medicine, etc (hakuna bachelor kwa maana ya 'shahada' ya animal health and production).
by the way, hongera kwa kuchaguliwa na karibu sana LITA.
umepata campus gani vile ?
 
Kwanza hii shahada ya "animal health and production" umeikuta wapi we kijana ? kwa uelewa wangu ni kwamba hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania (labda kama imeanzishwa mwaka huu).
ninavyojua kuna "diploma in animal health and production" kwa kifupi DAHP ambayo hii ni STASHAHADA.
pia kuna "certificate in animal health and production" kwa kifupi CAHP ambayo hii ni ASTASHAHADA.
-shahada ni degree programmes, mfano bachelor in animal sciences, veterinary medicine, etc (hakuna bachelor kwa maana ya 'shahada' ya animal health and production).
by the way, hongera kwa kuchaguliwa na karibu sana LITA.
umepata campus gani vile ?
Ajila zikoje
 
Soko la ajira kada ya mifgo baada ya kumaliza shahada au stashahada ya animal health and production likoje..je kuna usumbufu wa kupata ajira?
kama hujui pita hivi(kimya kimya)
Kasomee mambo ya soft ware na AI . Utanikumbuka.
Huko hutoboi mkuu
 
Back
Top Bottom