Shahidi awatambua Sabaya na wenzake ndio waliwavamia dukani

Mjomba wake aliekuwa amefunga aliomba apewe kitu afungue kwanza ndipo sabaya akawa nunulia ndizi moja moja wakafungulia.
Huyu jamaa alikuwa na roho mbaya sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Vipi kama alikuwa kikazi ? Ni wazi hao watu walikuwa wana makosa, Sabaya will be free soon…
 
Huyu Dogo kwa hizi purukushani anazopitia, naamini hata kama ikatokea akachomoka! Basi ujanja wake wote utakuwa umekwisha.

Itamlazimu kujipanga upya na kusafisha jina lake. Alifanya mambo mengi sana ya kitoto.
huyo hasafishiki kama alivyo bashite
 


Aite polisi vipi wakati umeshaambiwa walipelekwa polisi?hao polisi wangesaidia nini wakati aliyewakamata ndo boss wao au ulitaka hao polisi wakalinde nyumba yao?
 
Huyu Dogo kwa hizi purukushani anazopitia, naamini hata kama ikatokea akachomoka! Basi ujanja wake wote utakuwa umekwisha.

Itamlazimu kujipanga upya na kusafisha jina lake. Alifanya mambo mengi sana ya kitoto.
Siyo ya kitoto ya kijina kabisa
 
..tatizo Sabaya alikuwa amewakamata kama nani?

..Sabaya anaweza vipi kutoka mkoa mmoja na kwenda kukamata muuza duka ktk mkoa mwingine?

Halafu hizo ndio kazi za DC
 
Kwa hiyo huyo shahidi anasema walikamatwa wakaporwa halafu wakapelekwa Polisi??? Tena walichoporwa ni simu Tecno na laki 3 ??? Hapa hamna kesi, kabla ya Sept mwisho Sabaya atakuwa huru.
Uporaji unaanzia bei gani
 
Sabaya alimuiga bashite jinsi ya kupora pesa za watu, Utawala wa sheria ungekuwepo bashite angekuwa ndani
 
Reactions: Qwy
Kwa sisi wenye kufanya kazi ya kutoa haki, ukiona Shahidi amekutambua kwamba wewe ndio uliyefanya tukio unalotuhumiwa, aisee anza kukaa mguu sawa.

Siongezi maneno wengine endeleeni kuongea mnayotaka kuongea.
Key ya kesi za robbery huwa ni identification parade, witness akifanikiwa kumtambua mtuhumiwa ujue kesi inambana kwani huwa wanapanga line ya watu wanaoshabihiana na witness inamlazimu awatambue suspects.
 
kama aliwapa ndizi ili wafuturu basi inaonekana alikuwa mtu mwema kabisa hadi akakumbuka na kujali imani zao, ingekuwa jambazi kweli wala asinge hangaika na mambo hayo.
Inaonekana hauwajui majambazi, mbali na aina yao ya utafutaji pesa(ujambazi) nao ni binadamu wa kawaida na wanaishi maisha ya kawaida. A good number of them are very respectable in the society, ukionyeshwa na ukaambiwa ni jambazi hauwezi kuamini.
 
Exactly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…