Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Shukrani mkuuShahidi ni matyr.
Ni mtu aliye tayari kuua au kufa/anaekufa kwasababu ya imani yake...unaweza ukawa unaamini kuwa dunia ni flat mpaka ukawa tayari kufa kwa ajili ya imani hiyo.
Kwa siasa za Iran shahidi ni mtu aliye tayari kufa kwa ajili ya imani yake katika Allah...Yaani yuko tayari kufanya kitu chochote kuangamiza maadui wa Allah kama maisrael au kuendeleza dini ya Allah au dola ya kiislam hata kama anaweka maisha yake rehani.
Acha kupotosha wewe,kitu kama hujui ni bora upige kimya,sio Iran tu,katika iman ya uislamu shahidi ni mtu aliyekufa kwa kuipigania haki yake,kama vile mtu anakuja kuidhuru familia yako,au anachukua ardhi au mali zingine lazima uipiganie haki yako,wewe unaonekana ni Islamophobia.Shahidi ni matayari.
Ni mtu aliye tayari kuua au kufa/anaekufa kwasababu ya imani yake...unaweza ukawa unaamini kuwa dunia ni flat mpaka ukawa tayari kufa kwa ajili ya imani hiyo.
Kwa siasa za Iran shahidi ni mtu aliye tayari kufa kwa ajili ya imani yake katika Allah...Yaani yuko tayari kufanya kitu chochote kuangamiza maadui wa Allah kama maisrael au kuendeleza dini ya Allah au dola ya kiislam hata kama anaweka maisha yake rehani.
Pumba tupu..pigania dem wako sasa uitwe shahidi IRANAcha kupotosha wewe,kitu kama hujui ni bora upige kimya,sio Iran tu,katika iman ya uislamu shahidi ni mtu aliyekufa kwa kuipigania haki yake,kama vile mtu anakuja kuidhuru familia yako,au anachukua ardhi au mali zingine lazima uipiganie haki yako,wewe unaonekana ni Islamophobia.
We jamaa una akili nzito sana! Ujinga unakusumbua.Pumba tupu..pigania dem wako sasa uitwe shahidi IRAN
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
We jamaa una akili nzito sana! Ujinga unakusumbua.
siku hizi shahidi siyo lazima awe eneo la tukio,unaweza kumchukua hata wa mikoani akaja kutoa ushahidi mjini na ukashinda kesiSiku hizi shahidi anatakiwa awe na uthibitisho wa alichokishuhudia.
siku hizi shahidi siyo lazima awe eneo la tukio,unaweza kumchukua hata wa mikoani akaja kutoa ushahidi mjini na ukashinda kesiSiku hizi shahidi anatakiwa awe na uthibitisho wa alichokishuhudia.
Achana na Wairan, wanafiki sana. Wao Ni Waarabu, lakini wanabisha, eti wao ni PersiansHabari wakuu
Nimekua nikilisikia hili neno "SHAHIDI"hasa kwenye siasa za jamhuri ya watu wa Iran.
Je, lina maana gani?
Msaada tafadhali.
Kwanini maadui wa Israel wengi wamegeuka na kuwa rafiki zake, hasa nchi za Kiarabu?Shahidi ni matayari.
Ni mtu aliye tayari kuua au kufa/anaekufa kwasababu ya imani yake...unaweza ukawa unaamini kuwa dunia ni flat mpaka ukawa tayari kufa kwa ajili ya imani hiyo.
Kwa siasa za Iran shahidi ni mtu aliye tayari kufa kwa ajili ya imani yake katika Allah...Yaani yuko tayari kufanya kitu chochote kuangamiza maadui wa Allah kama maisrael au kuendeleza dini ya Allah au dola ya kiislam hata kama anaweka maisha yake rehani.
Maendeleo huleta Elimu na elimu huleta maendeleoKwanini maadui wa Israel wengi wamegeuka na kuwa rafiki zake, hasa nchi za Kiarabu?