Shahidi: Sabaya alinifunga Pingu miguu na Mikono na nilipigwa nusu ya kifo

Inamaana wachaga wote mmejiunga kupambana na sabaya mtu mmoja

USSR
 
Mbona zile za mashaidi kushindwa kutetea ushaidi hamleti
 
Ningekuwa hakimu ningempa hukumu ya kunyongwa hadi kufa
 
ana kitambi bado na yuko fit, hyu halali gerezani asilani
 
Mkuu,

Mbona hujatuletea Cross Examination baina ya Mawakili upande wa Mtuhumiwa pamoja na Shahidi?
Kwa ushahidi huu dhaifu unaoonekana umepikwa, nitashangaa sana Sabaya akikutwa na hatia.
 
SIO SABAYQ MI CCM
 
ana kitambi bado na yuko fit, hyu halali gerezani asilani
Nafikiri ulikuwa na umri wa kutambua kinachoendelea Mramba na Yona walipokamatwa. Kabla ya kukamatwa kuna vyumba vya selo vilifanyiwa ukarabati wa nguvu.

Tulipiga sana kelele humu JF lakini ndio hivyo, Mramba na Yona gerezani walikuwa kama hoteli ya nyota 3. Walichopungukiwa ilikuwa uhuru wa uraiani.

Sabaya yupo Kisongo japo huduma anazopata zitakuwa tofauti na wengi wengine walio rumande. Nina hakika anaendelea kupata milo mitatu kwa siku.
 
Perfect, issue ya Mramba nilikuwa kwenye late40s????. Ilisemekana hivyo.. na inawezekana sana tena sana. Sabaya anawweza akawa ndani, lkn kwa move ya samia, lolote can be speculated
 
Maajabu ya mahakama,.pamoja na mlolongo mrefu hivyo wa mashtaka si ajabu Sabaya kaachiwa huru na hao wapambe wa Sabaya ndio wakala mvua
 
Perfect, issue ya Mramba nilikuwa kwenye late40s????. Ilisemekana hivyo.. na inawezekana sana tena sana. Sabaya anawweza akawa ndani, lkn kwa move ya samia, lolote can be speculated
Gagnija nimeona nitafute mawazo ya watu maana kunawili huku siyo kwa kawaida. Ukiangalia mzee Rugemalila unaona kuwa yuko gerezani/remand prison
 
Maajabu ya mahakama,.pamoja na mlolongo mrefu hivyo wa mashtaka si ajabu Sabaya kaachiwa huru na hao wapambe wa Sabaya ndio wakala mvua
Kwa move hii ya kumtesa Mbowe, Samia atamuachia huyu jambazi
 
unaweza kuelezea mahakama hii kifo ni nini?
Kifo ni kinyume cha uhai.
Nusu yake
Nusu ya kifo ni kuwa katika mazingira hatarishi ya kuondoa uhai kama vile kupigwa na kukabwa shingoni au kuzimia.
Kufa ni kutokuwa hai,ama nini kinaendelea baada ya kufa hakuna anayejua.
Iweje pingu ya kufungia mikono ikaweza kukufunga Miguu?
Ni kwa sababu pingu inaongezeka uduara wake kadri ya ukubwa wa hiko kinachofungwa unavyokua.


Endelea kuuliza maswali wakili mwenye akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…