Shahidi: Sabaya alinifunga Pingu miguu na Mikono na nilipigwa nusu ya kifo

Sasa hapo swali gumu ni lipi, very childish.
Kwa mfano, haufahamu kama pingu ni adjustable? Yaani hilo nalo ni swali.
 
Sio siri watu wengi walikuwa wakiishi kwa hofu, viongozi wengine waligeuka miungu mtu walivamia ofisi za watu na nyumba za watu kwa silaha na askari mchana kweupe bila woga, nchi ilikuwa police state na usalama wa Taifa iligeuka chombo cha mauaji na utekaji sio ulinzi wa nchi tena, wapinzani walikuwa wanafunguliwa kesi hewa, kufungwa na wengine kuuwawa waziwazi,uchaguzi ulikuwa ni wa wizi mkubwa ambao haujawahi kutokea katika historia ya nchi...yana mwisho lakini na mwisho wake ni aibu tupu
 
Shahidi anaposema alipigwa nusu kufa maana alifikishwa hospitali je ni hospitali gani alipokelewa na kupatiwa matibabu na wahudumu wa hiyo hospital walimtibu majeruhi bila kuwa na PF3 na hiyo PF3 ilitolewa kituo gani na huyo askali alimuona majeruhi na uongozi husika walipata taarifa kuwa kuna majeruhi katika hospitali fulani kajeruhiwa na muhusika tajwa, kuna maswali mengi sana hapo matukio hayo yote yaliwahi kulipotiwa kituo chochote cha polisi.
 
Serikali ya Awamu ya Tano lazima ibebe lawama hizi zote.
 
Masalia ya Sabaya..
Nenda court Arusha ukamtetee..
Meko katuachia wehu wengi sana wa mfano wako.
 
Zipo pingu za plastic zile wanazofungiwa magaidi kule Afghanistan, kiazi ww
 
Usisahau na team upinzani inazidi kukiona cha moto. Wameanza na kaka lao Mbowe kapigwa kesi ya ugaidi, halafu atafungwa miaka ambayo idadi yake haijulikani. Akija kutoka huko ashakuwa zezeta tayari.

Hii nchi hii!!!!
Hakuna kesi ya kumfunga mbowe pale
 
Usisahau na team upinzani inazidi kukiona cha moto. Wameanza na kaka lao Mbowe kapigwa kesi ya ugaidi, halafu atafungwa miaka ambayo idadi yake haijulikani. Akija kutoka huko ashakuwa zezeta tayari.

Hii nchi hii!!!!
Ni wapuuzi wachache kama wewe wanaoweza kuamini kama pale kuna kesi! uhuni wa hawa jamaa umeshapuuzwa na ndio maana hata majirani zetu wanatucheka kumwita Mbowe GAIDI.
 

Mmmh, aiseee...!!

Hii ni hatari sana. Yaani yote haya ni ili tu eti "kiongozi wa umma aitwaye Lengai Ole Sabaya DC wa Hai" by then kutaka pesa na utajiri wa haraka haraka kwa njia haramu kwa kutumia jasho la watu wengine na kwa ku - abuse mamlaka yake...!!

Hata kama sheria za nchi (law of land) zitakuwa manipulated ili kumuepusha na adhabu anayostahili, lakini kamwe hataikwepa KARMA huyu....!!
 
Kweli tulikuwa hatuna utawala...yaani a simple mkuu wa wilaya anafanya haya yote...mkuu wa wilaya...

Tuna tatizo kubwa sana Tanzania, nawaunga mkono wanaosema katiba hii iangaliwe upya.
 
Ni wapuuzi wachache kama wewe wanaoweza kuamini kama pale kuna kesi! uhuni wa hawa jamaa umeshapuuzwa na ndio maana hata majirani zetu wanatucheka kumwita Mbowe GAIDI.
Ni kweli hakuna kesi. Lkn kufungwa atafugwa. Nadhani unakumbuka mashekhe wamekaa miaka 9 gerezani pamoja na kwamba hawakuwa na kesi.

Nchi ngumu sana
 
Duh hii nchi tulishafika pabaya.

Sana tu na sina imani kama hata sasa tumetoka katika mfumo huu mbaya , halafu Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Arusha pamoja na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Arusha hawakuwa na taarifa za mwanaCCM mwenzao toka wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro akifanya mambo haya .
Sheria Na. 24 ya mwaka 1966 ya Ulinzi na Usalama wa Taifa, Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama (KUU), Katibu Tawala wa Mkoa atasimamia Maagizo ya KUU
1.2 Ofisi ya Mkuu wa Wilaya

  • Madaraka yake yanatiririka kutoka kwa Rais kupitia kwa Mkuu wa Mkoa
  • Madaraka kwa mujibu wa sheria Na 19 ya 1997 (kumweka mtu kuzuizini masaa 48 mfulilizo)

Au Hizi kamati ni kwa ajili ya kufuatiliwa wapinzani na siyo za ulinzi na usalama wa waTanzania.
 
hahaha huu ugoro ulioandika hapa ndiyo unatokana na hiyo IQ yako kubwa uliyokua nayo???
 
Huyu kijana usalama wake ni kubaki jela maisha yote.
Kuna mlevi mmoja wa maji jana nilimsikia akisema huyu ni mtu wa system kesi itaisha ataachiwa na atapewa Ubalozi wa nchi mojawapo ataenda kuishi uko.

Tuvute subira tuone mwisho wa kesi.
 
Kuna mlevi mmoja wa maji jana nilimsikia akisema huyu ni mtu wa system kesi itaisha ataachiwa na atapewa Ubalozi wa nchi mojawapo ataenda kuishi uko.

Tuvute subira tuone mwisho wa kesi.
huyu hata akifichwa wapi atakwisha
 
Kuzimia ni nusu ya kufa jomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…