Pre GE2025 Shaibu: Ali Happi ameanza siasa za Misikitini, anasema CHADEMA tunampinga Rais Samia kwa sababu ni Muislamu

Pre GE2025 Shaibu: Ali Happi ameanza siasa za Misikitini, anasema CHADEMA tunampinga Rais Samia kwa sababu ni Muislamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa CHADEMA Singida mjini Mhe. Shaibu amesema Katibu wa Wazazi wa CCM Dr Ali Happi alipofika Singida alifanya Siasa ndani ya msikiti ambao Shaibu anaabudu hapo.

Happi alisema Chadema wanampinga Rais Samia kwa Sababu ni Muislamu na akawasihi Waislamu kwa Umoja wao wamtetee Muislamu mwenzao.

Shaibu ameonya si vema Siasa ndani ya nyumba za Ibada zikaachwa zilendelee.

Source: Mwanzo TV Plus.

My take; Hapo Kenya kwenye Katiba mpya Siasa zimeruhusiwa Makanisani

Nawatakieni Dominica Njema 😀
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Singida mjini Mhe. Shaibu amesema Katibu wa Wazazi wa CCM Dr Ali Happi alipofika Singida alifanya Siasa ndani ya msikiti ambao Shaibu anaabudu hapo.

Happi alisema Chadema wanampinga Rais Samia kwa Sababu ni Muislamu na akawasihi Waislamu kwa Umoja wao wamtetee Muislamu mwenzao.

Shaibu ameonya si vema Siasa ndani ya nyumba za Ibada zikaachwa zilendelee.

Source: Mwanzo TV Plus.

My take; Hapo Kenya kwenye Katiba mpya Siasa zimeruhusiwa Makanisani

Nawatakieni Dominica Njema 😀
Happy ni mdini haswa kama alivyo maza
 
Happi amerudishwa kwenye mkate baada ya kujikomba vya kutosha kwa Waziri Salum na kuahidi kumpa robo ya mshahara wake kila mwezi.
 
Yaani muziki wa Lissu dhidi ya mama Abdul na haya masakata ya kuigawa nchi kwa mwarabu atapigwa spana nyie nyie namwonea huruma najua atakimbilia kusema ooh mimi ndo nilienda kumuona Nairobi n.k. Najua ni kipindi kibaya sana kwa mama Abdul ila machawa wanamwaminisha Kuwa asiwaze
 
Back
Top Bottom