Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Hivi, hii sinema ya huyu shahidi..kwa nini wasipate ushahidi wake kabla hayajatokea ya kutokea ambayo naona ni almost imminent?
Mpita Njia shukrani kwa habari, manake kulikuwa kuna tetesi kuwa amefariki. Mungu amsaidie apate nafuu haraka, ili aweze kuja kutoa ushahidi katika kesi inayowakabili.