Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Kuna mdau mmoja huko Faceebook ameshuka msitari na utenzi huu, nami nikaona si vibaya nikiwashirikisha hapa jamvini tukafaidi wote... soma hapa
MWIGULU NCHEMBA
kKalamu yangu sambamba,
Kwako Mwigulu wa Nchemba,
Na weka wazi na si chemba,
Kama wima nakuchamba.
Umekuwa jinamizi,
kwa siasa kandamizi,
Ukipita ni ushuzi,
Maneno yako upuuzi.
Siasa za kichochezi,
Na makundi ya Kishenzi,
Kazi yako ni mkwezi
Siasa hizi huziwezi.
CHADEMA mwanana
ccm watuhanya,
Demokrasia walibana
Na Arusha tumewachana
Mabomu mliyarusha,
Kuiteketeza Arusha,
Risasi mlizirusha
Uhai Kuukatisha
Mlitoa na vitisho,
Kwa mafumbo na mipasho
Leo mwatoka jasho,
Sijui tuwapeleke josho?
Heko heko kaka Lema,
Arusha tumerindima,
Hiki kishindo cha CHADEMA
Kinana hoi anahema
Ashakum si matusi
Kunitoa kucha haupaswi
Najua wewe ni kirusi
Watanzania umetuasi
Buriani sisiemu,
Hatutakuenzi marehemu
umeuza nchi kwa ukarimu
Maisha yetu umegharimu
Kadi tamati wa tama,
Hapa mwisho nasimama,
CHADEMA nakutakia salama
MABADILIKO NI LAZIMA
MWIGULU NCHEMBA
kKalamu yangu sambamba,
Kwako Mwigulu wa Nchemba,
Na weka wazi na si chemba,
Kama wima nakuchamba.
Umekuwa jinamizi,
kwa siasa kandamizi,
Ukipita ni ushuzi,
Maneno yako upuuzi.
Siasa za kichochezi,
Na makundi ya Kishenzi,
Kazi yako ni mkwezi
Siasa hizi huziwezi.
CHADEMA mwanana
ccm watuhanya,
Demokrasia walibana
Na Arusha tumewachana
Mabomu mliyarusha,
Kuiteketeza Arusha,
Risasi mlizirusha
Uhai Kuukatisha
Mlitoa na vitisho,
Kwa mafumbo na mipasho
Leo mwatoka jasho,
Sijui tuwapeleke josho?
Heko heko kaka Lema,
Arusha tumerindima,
Hiki kishindo cha CHADEMA
Kinana hoi anahema
Ashakum si matusi
Kunitoa kucha haupaswi
Najua wewe ni kirusi
Watanzania umetuasi
Buriani sisiemu,
Hatutakuenzi marehemu
umeuza nchi kwa ukarimu
Maisha yetu umegharimu
Kadi tamati wa tama,
Hapa mwisho nasimama,
CHADEMA nakutakia salama
MABADILIKO NI LAZIMA