Shairi makini kwa chama makini

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,643
Reaction score
3,301
wa2 tunakufa njaa pesa wanazila
wengne*
ukiongea kwa umma waweza
chinjwa pengne*
wanasema bora u2lie ucje fikishwa
pengne*
naongele utawala wa tz co nchi
nyngne*
unaomilikiwa chama cha mabavu na
co chama kingne*
ama hakika nmechoka natake
chama kingne*
chedema ndo nmefika wala cend
pengne*
 
Babumapunda ninakusoma
kwamba hutaki kwingne* Ijapokuwa vyama vi lukuki. weye hutaki kingne* Eti kwa chadema umegotaaa. katu hutounga kingne* siri yako siri gani. hebu tutonye nasi wengne* Walau ukweli tukijuaaa. tuwaite na watu wengne* Maana tambua nchini mwetu. tunavyo vyama vingne* Naweza jiunga Jahazi aa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…