wa2 tunakufa njaa pesa wanazila
wengne*
ukiongea kwa umma waweza
chinjwa pengne*
wanasema bora u2lie ucje fikishwa.
pengne*
naongele utawala wa tz co nchi
nyngne*
unaomilikiwa chama cha mabavu na
co chama kingne*
ama hakika nmechoka natake
chama kingne*
chedema ndo nmefika wala cend
pengne*