Shairi: Ngoma ya watoto haikeshi (Dedicated to Kenyans)

Shairi: Ngoma ya watoto haikeshi (Dedicated to Kenyans)

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
7a117aec8bfe7034b85c3667271da327.jpg



Ukubwa huwa ni dawa, ni msemo wa wahenga
Sasa namtuma njiwa, Awe kwenu ni mkunga
Leo ninatoa dawa, Ili muache kuringa
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Hii ngoma ya kukesha, Asubuhi unatamba
Jirani unachekesha, Hujui haijabamba?
Wewe acha kujichosha, Subiri kuanza dimba
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kila kitu umetoa, Wewe ni mdogo sana
Data unaongezea, Watu wako kuwachuna
Jirani utapotea, Sasa ni mapema sana
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Akiba wewe hauna, Dogo unakopa sana
Nguo nzuri wazishona, Nyumbani mlo hakuna
Kila siku mwagombana, Udugu kwenu hakuna
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Wenzako wajiandaa, mwenzangu umeshachoka
Macho sasa wakodoa, Umeanza kuropoka
Kila kitu wandandia, Kitu huna wakitaka
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Zigo hilo la kichina, Nani utambebesha?
Limeshaanza kuchina, Kipya sisi tunashusha
Wenzako wameshaona, Zigo wamekubebesha
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Tulikuwa tumelala, twasubiri huo muda
Sisi huku tunakula, watu wetu kuwalinda
Ni shida kwenu chakula, Kila mtu amekonda
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Jirani tumeamka, Unapiga makelele
Wewe sasa umechoka, cha kwetu hicho kilele
Hakuna cha kufichika, udugu wetu ni mbele
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Unajivunia nini, hebu sasa nieleze
Unakaa mabatini!, wataka nikupongeze?
Maisha ni ya zizini!, samadi kwako zeze
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kalamu chini naweka, Ujumbe umeupata
Watu wakubwa twacheka, vile unapwatapwata
Njiwa sasa amefika, salamu umeipata
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi


Shairi limetungwa na Bw. Annael
 
7a117aec8bfe7034b85c3667271da327.jpg



Ukubwa huwa ni dawa, ni msemo wa wahenga
Sasa namtuma njiwa, Awe kwenu ni mkunga
Leo ninatoa dawa, Ili muache kuringa
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Hii ngoma ya kukesha, Asubuhi unatamba
Jirani unachekesha, Hujui haijabamba?
Wewe acha kujichosha, Subiri kuanza dimba
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kila kitu umetoa, Wewe ni mdogo sana
Data unaongezea, Watu wako kuwachuna
Jirani utapotea, Sasa ni mapema sana
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Akiba wewe hauna, Dogo unakopa sana
Nguo nzuri wazishona, Nyumbani mlo hakuna
Kila siku mwagombana, Udugu kwenu hakuna
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Wenzako wajiandaa, mwenzangu umeshachoka
Macho sasa wakodoa, Umeanza kuropoka
Kila kitu wandandia, Kitu huna wakitaka
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Zigo hilo la kichina, Nani utambebesha?
Limeshaanza kuchina, Kipya sisi tunashusha
Wenzako wameshaona, Zigo wamekubebesha
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Tulikuwa tumelala, twasubiri huo muda
Sisi huku tunakula, watu wetu kuwalinda
Ni shida kwenu chakula, Kila mtu amekonda
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Jirani tumeamka, Unapiga makelele
Wewe sasa umechoka, cha kwetu hicho kilele
Hakuna cha kufichika, udugu wetu ni mbele
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Unajivunia nini, hebu sasa nieleze
Unakaa mabatini!, wataka nikupongeze?
Maisha ni ya zizini!, samadi kwako zeze
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kalamu chini naweka, Ujumbe umeupata
Watu wakubwa twacheka, vile unapwatapwata
Njiwa sasa amefika, salamu umeipata
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi


Shairi limetungwa na Bw. Annael
Haha Hii ndio imenichekesha.

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Lakini unajua kwamba sisi hatupiki data. Weka machungu kando na ukubali ukweli.
 
7a117aec8bfe7034b85c3667271da327.jpg



Ukubwa huwa ni dawa, ni msemo wa wahenga
Sasa namtuma njiwa, Awe kwenu ni mkunga
Leo ninatoa dawa, Ili muache kuringa
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Hii ngoma ya kukesha, Asubuhi unatamba
Jirani unachekesha, Hujui haijabamba?
Wewe acha kujichosha, Subiri kuanza dimba
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kila kitu umetoa, Wewe ni mdogo sana
Data unaongezea, Watu wako kuwachuna
Jirani utapotea, Sasa ni mapema sana
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Akiba wewe hauna, Dogo unakopa sana
Nguo nzuri wazishona, Nyumbani mlo hakuna
Kila siku mwagombana, Udugu kwenu hakuna
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Wenzako wajiandaa, mwenzangu umeshachoka
Macho sasa wakodoa, Umeanza kuropoka
Kila kitu wandandia, Kitu huna wakitaka
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Zigo hilo la kichina, Nani utambebesha?
Limeshaanza kuchina, Kipya sisi tunashusha
Wenzako wameshaona, Zigo wamekubebesha
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Tulikuwa tumelala, twasubiri huo muda
Sisi huku tunakula, watu wetu kuwalinda
Ni shida kwenu chakula, Kila mtu amekonda
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Jirani tumeamka, Unapiga makelele
Wewe sasa umechoka, cha kwetu hicho kilele
Hakuna cha kufichika, udugu wetu ni mbele
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Unajivunia nini, hebu sasa nieleze
Unakaa mabatini!, wataka nikupongeze?
Maisha ni ya zizini!, samadi kwako zeze
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kalamu chini naweka, Ujumbe umeupata
Watu wakubwa twacheka, vile unapwatapwata
Njiwa sasa amefika, salamu umeipata
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi


Shairi limetungwa na Bw. Annael
 
7a117aec8bfe7034b85c3667271da327.jpg



Ukubwa huwa ni dawa, ni msemo wa wahenga
Sasa namtuma njiwa, Awe kwenu ni mkunga
Leo ninatoa dawa, Ili muache kuringa
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Hii ngoma ya kukesha, Asubuhi unatamba
Jirani unachekesha, Hujui haijabamba?
Wewe acha kujichosha, Subiri kuanza dimba
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kila kitu umetoa, Wewe ni mdogo sana
Data unaongezea, Watu wako kuwachuna
Jirani utapotea, Sasa ni mapema sana
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Akiba wewe hauna, Dogo unakopa sana
Nguo nzuri wazishona, Nyumbani mlo hakuna
Kila siku mwagombana, Udugu kwenu hakuna
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Wenzako wajiandaa, mwenzangu umeshachoka
Macho sasa wakodoa, Umeanza kuropoka
Kila kitu wandandia, Kitu huna wakitaka
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Zigo hilo la kichina, Nani utambebesha?
Limeshaanza kuchina, Kipya sisi tunashusha
Wenzako wameshaona, Zigo wamekubebesha
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Tulikuwa tumelala, twasubiri huo muda
Sisi huku tunakula, watu wetu kuwalinda
Ni shida kwenu chakula, Kila mtu amekonda
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Jirani tumeamka, Unapiga makelele
Wewe sasa umechoka, cha kwetu hicho kilele
Hakuna cha kufichika, udugu wetu ni mbele
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Unajivunia nini, hebu sasa nieleze
Unakaa mabatini!, wataka nikupongeze?
Maisha ni ya zizini!, samadi kwako zeze
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Kalamu chini naweka, Ujumbe umeupata
Watu wakubwa twacheka, vile unapwatapwata
Njiwa sasa amefika, salamu umeipata
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi


Shairi limetungwa na Bw. Annael
Duh kumbe wewe ni bwana na sio bibi. Masalale! na mbona hua una umbea sana?
 
Haha Hii ndio imenichekesha.

Pesa za kwenye kitabu, na nyingi kujitungia
Kipi kinachokusibu, dunia imegundua
Huyajui mahesabu, takwimu kujitugia
Kweli ngoma ya watoto, Siku zote haikeshi

Lakini unajua kwamba sisi hatupiki data. Weka machungu kando na ukubali ukweli.

Najua unaumia, shairi kukutungia
Uongo kujivunia, wakubwa kuwatumia
Maisha mwajichokea, wazungu kuwatumia
Rafiki yangu amka, Achana na kudanganywa
 
Chakula kimeanza kuchina
 
Thanks for a nice poem full of rhyme words different in each verse.
 
Back
Top Bottom