Shairi: Twakuita Kaka Kibu

Shairi: Twakuita Kaka Kibu

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU

Mara upo Marekani,
Mara upo kijijini,
Mara haupo kambini,
Hatukuoni ndegeni,
Twakuita kikosini,
Sasa upo nchi gani?
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU.

Maokoto, nyumba pia,
Vyote tulikupatia,
Bado umetukimbia,
Pesa hatutapokea,
Twataka we kurejea,
'baya ubwela sikia,
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU.

Vipi we ukachochora,
Wasababisha hasara,
Nanenane kuna pira,
Mtani yupo imara,
CPA wanakera,
Kibu una masihara,
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU
 
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU

Mara upo Marekani,
Mara upo kijijini,
Mara haupo kambini,
Hatukuoni ndegeni,
Twakuita kikosini,
Sasa upo nchi gani?
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU.

Maokoto, nyumba pia,
Vyote tulikupatia,
Bado umetukimbia,
Pesa hatutapokea,
Twataka we kurejea,
'baya ubwela sikia,
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU.

Vipi we ukachochora,
Wasababisha hasara,
Nanenane kuna pira,
Mtani yupo imara,
CPA wanakera,
Kibu una masihara,
TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU
Good poem
 
nipo nakula bata,acheni kutapatapa
haitaisha kwa miongo,na karne zitapita

mlijiona mafedhuri,sasa nawaonyesha kiburi!
si nyinyi mahodari,mbona mwalia kama mwali..?

senti zenu nimekula,na mizimu imebuma
hata mkinitumia jini fatuma,taratibu ntalitafuna!.
Mimi ndo kibu mkandaji,wengine wasimuliaji!.

chamoto mtakiona,nikianzia mwanza namalizia idodomya!
enyimba mnamatatizo,wacha kwanza niende likizo!
si mlisema mnavuta..?,sasa mimi naitafuna!
hizi rasta hamkuziona..?,zinaficha cha arusha na dodoma!..😁
 
Kibu yupo na Mastermind muwe makini mnapomuitaita
 
Back
Top Bottom