Tabora wanafuraha sana kumuona Katibu Mwenezi ndg. Shaka Hamdu Shaka mapokezi ni Makubwa sana hata Freeman Mbowe hapokelewi kwa shangwe hivi pale Hai kwao pamoja kuwa ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Kweli CCM chama kubwa mkubali hapo kaja Mwenezi tu Hali ipo hivyo.
Hivi CHADEMA Mwenezi wa Chama ni nani? Maana Chama kimepotea mara baada ya CCM kumpa uskani 'PUTIN" Shaka Hamdu Shaka hakika anaitendea haki nafasi ya Uenezi.
Kweli CCM chama kubwa mkubali hapo kaja Mwenezi tu Hali ipo hivyo.
Hivi CHADEMA Mwenezi wa Chama ni nani? Maana Chama kimepotea mara baada ya CCM kumpa uskani 'PUTIN" Shaka Hamdu Shaka hakika anaitendea haki nafasi ya Uenezi.