Shaka awanyosha CHADEMA Kusini Maelfu ya Kadi, Bendera na nguo akabidhiwa kumrudisha Mbowe

Shaka awanyosha CHADEMA Kusini Maelfu ya Kadi, Bendera na nguo akabidhiwa kumrudisha Mbowe

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.

" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa

IMG-20220601-WA0192.jpg
IMG-20220601-WA0191.jpg
IMG-20220601-WA0187.jpg
 
Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.

" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Huyo Shaka aache ushamba!
 
Toka Maktaba :

17 Feb 2020
Samia Suluhu : "Napenda mawazo ya wapinzani, huwa wanajenga hoja vizuri, walini 'inspire' niingie siasa"



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefunguka kuhusiana na historia ya maisha yake ambapo ameeleza siri ya mafanikio na chanzo kilichomvutia kuingia kwenye siasa. Samia Suluhu anaona hoja za upinzani ni moto, zimejaa mantiki kuliko za mawaziri wa serikali ya CCM , hivyo walinivutia / inspire, mimi ni activist ... kuingia siasani baada ya kuona majibu na hoja za upande wetu (CCM) hazina uhalisia na hazijibu maswali ya wananchi ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=gb3MPZNXdt4
 
Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.

" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa

Sanaa tupu hao wote ni CCM
 
31 May 2022
Dar es Salaam, Tanzania

Mh. Rais Samia Hassan akipokea kitabu cha Joseph Mbilinyi huku mwenyekiti Freeman Mbowe akishuhudia katika hafla maalum jijini Dar es Salaam

1654081997292.png


Picha jana tarehe 31 May 2022 katika ya rais Mh. Samia Hassan na viongozi wa CCM, CHADEMA, mawaziri na viongozi jijini Dar es Salaam

1654082383791.png
 
Unauhakika dhambi ya unafiki itawaacha wanasiasa wapite kwenye ule mlango mtakatifu

Mimi bado naangalia hii muvi iko kwenye trailer

The beautiful ones are not yet born
 
Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.

" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa

Labda wamevutiwa na vipodozi anavyotumia kuongeza urembo wake
 
31 May 2022
Dar es Salaam, Tanzania

IMG-20220531-WA0178
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Serena pamoja na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni msanii wa muziki wa Hiphop nchini Bw. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la Dream Concert lililofanyika Serena Jijini Dar es Salaam.
 
Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.

" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa

Hawa waliorusha nguo Za kuvaa kuna dalili hawana Hata nyumba Za kuishi Ili kutunzia hizo nguo.
 
Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Nimecheka balaa huyo mkulima wa Korosho aliyepata pembejeo anatokea kijj gani ....
 
Wameprint kadi na wakavalisha wanachama wao jezi za chadema ndio wanakuja kuleta siasa majitaka hapa..

Kama wameweza kuunda vyama feki vya upinzani..ama kuuchapisha kura feki.

Hao kijani limekua genge la walaghai.

Hawaaminiki tena hizo maigizo tunazijua tangu kitambo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wameprint kadi na wakavalisha wanachama wao jezi za chadema ndio wanakuja kuleta siasa majitaka hapa..

Kama wameweza kuunda vyama feki vya upinzani..ama kuuchapisha kura feki.

Hao kijani limekua genge la walaghai.

Hawaaminiki tena hizo maigizo tunazijua tangu kitambo.

#MaendeleoHayanaChama
Mihuni ni ya kuidharau tu.CCM wapi na wapi kwa wakulima?
 
Hiyo pete ya buluu anayovyaa ni ya nini?
 
Back
Top Bottom