Huyo Shaka aache ushamba!Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.
" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Sanaa tupu hao wote ni CCMZiara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.
" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Labda wamevutiwa na vipodozi anavyotumia kuongeza urembo wakeZiara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.
" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Hawa waliorusha nguo Za kuvaa kuna dalili hawana Hata nyumba Za kuishi Ili kutunzia hizo nguo.Ziara ya Katibu wa siasa na Uenezi CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka amekabidhiwa vifaa mbalimbali vya CHADEMA zikiwemo Kadi, flana, kofia pamoja na bendera sababu kubwa ikiwa wananchi wa kuseni wamemuelewa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwatumikia wananchi kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wake.
" Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Nimecheka balaa huyo mkulima wa Korosho aliyepata pembejeo anatokea kijj gani ....Sijawahi kuona Rais kama mama Samia kwa Muda mfupi tumeshudia Mabadiriko makubwa mfano sisi Wakulima wa korosho tumepata pembejeo kwa wakati bila kuwa la longolongo hakika Mama anaupiga mwingi kweli kweli" - Bakari Chalinginji Madereko Mkazi wa Ruangwa
Mihuni ni ya kuidharau tu.CCM wapi na wapi kwa wakulima?Wameprint kadi na wakavalisha wanachama wao jezi za chadema ndio wanakuja kuleta siasa majitaka hapa..
Kama wameweza kuunda vyama feki vya upinzani..ama kuuchapisha kura feki.
Hao kijani limekua genge la walaghai.
Hawaaminiki tena hizo maigizo tunazijua tangu kitambo.
#MaendeleoHayanaChama