Shaka: "CCM haijawahi kuhofia kuondoka madarakani kwa sababu hilo haliwezi kutokea"

Shaka: "CCM haijawahi kuhofia kuondoka madarakani kwa sababu hilo haliwezi kutokea"

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Ndugu Shaka Hamdu Shaka amesema, "CCM haijawahi kuhofia kuondoka madarakani kwa sababu ya marekebisho ya katiba tunaamini jambo hilo haliwezi kutokea, sababu kazi tunaifanya nzuri kwa wananchi na imani ya Watanzania kwa CCM ni kubwa Sana"..

Ukisoma uzi wangu wa mwisho kabla ya huu utaona nilisema maneno gani. Niliposti uzi wangu kabla ya kuona Press ya Shaka. Pengine nina kijiubanii nianze kujichunguza. Kazi mnayo UFIPA.
FW7RTuQWYAIhyIb.jpg
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, hii kauli hata "mwananchi wa akili za kawaida kabisa" anaielewa.
 
Kwakusema hivyo shaka anataka kusema cc watanzania 60milioni ni mapumbavu siio? Haya muamsheni alielala !
 
Mwamba anaupiga mwingi anataka kugombea na yeye nn 2025
 
Back
Top Bottom