Shaka: "CCM haijawahi kuhofia kuondoka madarakani kwa sababu hilo haliwezi kutokea"

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362

Ukisoma uzi wangu wa mwisho kabla ya huu utaona nilisema maneno gani. Niliposti uzi wangu kabla ya kuona Press ya Shaka. Pengine nina kijiubanii nianze kujichunguza. Kazi mnayo UFIPA.
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, hii kauli hata "mwananchi wa akili za kawaida kabisa" anaielewa.
 
Kwakusema hivyo shaka anataka kusema cc watanzania 60milioni ni mapumbavu siio? Haya muamsheni alielala !
 
Mwamba anaupiga mwingi anataka kugombea na yeye nn 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…