Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Bahati nzuri amejichubua uso na mkorogo umekwangua hadi akili"...CCM haitoachia madaraka abadani na kwalo sisi mtaji wa kuendelea kukaa madarakani tunao kwa sababu huwa tunajiandaa mapema."
Shaka.
Abadani?,kweli huyu mtoto si riziki"...CCM haitoachia madaraka abadani na kwalo sisi mtaji wa kuendelea kukaa madarakani tunao kwa sababu huwa tunajiandaa mapema."
Shaka.
CCM ni Chama Cha Mapinduzi. Kilifanya Mapinduzi,"...CCM haitoachia madaraka abadani na kwalo sisi mtaji wa kuendelea kukaa madarakani tunao kwa sababu huwa tunajiandaa mapema."
Shaka.
CCM itajiua 2026 Ili kizaliwe chama kingine kipya."...CCM haitoachia madaraka abadani na kwalo sisi mtaji wa kuendelea kukaa madarakani tunao kwa sababu huwa tunajiandaa mapema."
Shaka.
Kichaa mpya"...CCM haitoachia madaraka abadani na kwalo sisi mtaji wa kuendelea kukaa madarakani tunao kwa sababu huwa tunajiandaa mapema."
Shaka.
CCM imefichwa isione kifo chake kitakachotokea ghafula, umenena vyema mtmsh.Laiti ungejua yakupasayo amani lakini sasa yamefichwa kwako...