Shaka: CCM imetimia kazi inaendelea. Maandalizi ya Mkutano Mkuu yamefikia 99%, wajumbe tembeeni vifua mbele

Shaka: CCM imetimia kazi inaendelea. Maandalizi ya Mkutano Mkuu yamefikia 99%, wajumbe tembeeni vifua mbele

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20221206-WA0261.jpg



Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, imempitisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea uenyeki wa CCM katika uchaguzi wa Chama utakaofanyika Desemba 7, mwaka huu jijini Dodoma.

IMG-20221206-WA0258.jpg

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa kikao cha NEC kilichoketi leo Desemba 6, 2022 Shaka ameema pamoja na mambo mengine kilipitia na kufanya uteuzi wa mwisho wa wagombea wa nafasi mbalimbali.

Shaka amesema mbali na Dk. Samia, pia NEC imewapitisha Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana kuwa mgombea umakamu Mwenyekiti wa CCM (Tanzania Bara) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar) huku pia kikipitisha wagombea wa Viti 30 vya huku kila upande wa Muungano ukiwa na nafasi 15.

IMG-20221206-WA0259.jpg
 
Moja ya sifa kuu ya CCM ni kubadilika badilika na Ndio sababu huwa nasema CCM itatawala miaka mingi Sana kwakuwa inajua kushughulika na matatizo ya watu
 
Shaka ni kiongozi na anafanya kazi kubwa Sana najua kila mwanachama anafahamu
 
CCM ni kielelezo sahihi cha ujinga wa watanzania.
 
Mwenzake aliyemtangulia alipita kwa 100% yeye kapita kwa 99% tu?!
 
Yeah....CCM ikae kitako, ipitie ajenda za wapinzani, izimeze zote na kuzitekeleza, watabaki holaaa, kiundwr kikosi Cha wataalamu wazichambue tu
 
Yeah....CCM ikae kitako, ipitie ajenda za wapinzani, izimeze zote na kuzitekeleza, watabaki holaaa, kiundwr kikosi Cha wataalamu wazichambue tu
Hii sahihi kabisa nakubaliana
 
View attachment 2438082
View attachment 2438090

Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, imempitisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea uenyeki wa CCM katika uchaguzi wa Chama utakaofanyika Desemba 7, mwaka huu jijini Dodoma.

View attachment 2438084
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa kikao cha NEC kilichoketi leo Desemba 6, 2022 Shaka ameema pamoja na mambo mengine kilipitia na kufanya uteuzi wa mwisho wa wagombea wa nafasi mbalimbali.

Shaka amesema mbali na Dk. Samia, pia NEC imewapitisha Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana kuwa mgombea umakamu Mwenyekiti wa CCM (Tanzania Bara) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar) huku pia kikipitisha wagombea wa Viti 30 vya huku kila upande wa Muungano ukiwa na nafasi 15.

View attachment 2438086
Jangili mkuu wa Tembo wetu na ndio mwenyekiti wa CCM
 
Back
Top Bottom