Shaka Hamdu Shaka alikosea wapi kwenye Uenezi hadi kutupwa nje?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
SHAKA HAMDU SHAKA, Mwenezi Mstaafu wa CCM ametupwa nje ya nafasi hiyo na kupewa Mwana Mama Sophia Mjema.

Shaka alikosea nini hadi akatupwa nje ya tuliambiwa mwanzo yeye ni kipenzi sana cha Mama Samia.

Tunaofahamu Makosa ya Shaka hebu tusaidiane tupate uelewa. Maana Katibu Mkuu Chongolo yeye amebaki maana yake hana matatizo kwenye nafasi yake, Shaka matatizo yake ni yapi?
 
Sio kila kitu alitakiwa kueneza lakini yeye hakujali hilo
 
Alishatolewa na Magu ikaonekana kaonewa. Kiko wapi?
 
Shaka ameporomoka Sana ingekua Mimi ningejiunga na chadema. Kutoka ngazi ya uwaziri Hadi ukuu wa wilaya....
 
Shaka ameporomoka Sana ingekua Mimi ningejiunga na chadema. Kutoka ngazi ya uwaziri Hadi ukuu wa wilaya....
Alishawahi kuwa waziri wa wizara gani maana me nilikuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kidogo.
 

mie naona kama matatizo yake,yamo kinjamanjama, kwa maono yangu....

Mambo ya wakubwa, unawaachia wakubwa.

Alijua ya wakubwa akatutumuka? Baada ya Safari ya Bakuli Dubai?
yaani...
Unajiitutumua kwa kujuwa mambo ya Wakubwa.?

Unaishia sehemu upumzike. Aje akumbukwe na ndio Adabu irudi. Kiapo cha Ukimya ukizingatiwa.

Kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…