Muongo wewe.si ajabu wewe ni yule aliye hai lakini kafa anaitwa Kigogo.Huyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Ni vigumu kuamini kwa dhati ya moyoni kwamba CCM kuna mcha Mungu! Tena kiongozi wa juu kama Samia, Chongolo na Shaka. Afadhali ungesema Mzee Mangula aliyemtetea Membe na kifo cha sumu kikamhusu! God forbidWewe ni muongo, Shaka nimchamungu sana, acha kutafuta laana ndg
HahahaMuongo wewe.si ajabu wewe ni yule aliye hai lakini kafa anaitwa Kigogo.
Watafutwe ndioKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Yani mkuu Wewe unakasirika nini? Ni jambo baya hilo?Ana kitu ndani yake cha kuvuka mipaka ya kazi yake, hayo mambo ya serikali yeye yanamuhusu nini? kwani serikali haina watu wake wakufanya hiyo kazi ya ufuatiliaji wa miradi yake?
Hata mimi nashangaaYaani Abood atoe 200ml ili apitishwe chamani..!??
Wewe Unamjua Abood au unamsikia juu juu tu!??
Kwa kipindi cha miaka 15 mfululizo hakuna mpinzani aliyesimama dhidi ya Abood akaambulia hata robo ya kura tu kuanzia chamani kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu ubunge..!!
Hongera Sana mkubwa, Kazi iendelee, Your the voice of voicelessKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
😍😍 CHADEMA mmeanza kubaguanaWewe ni Taga acha uongo
KAZIIENDELEEKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Labda anabwigukaHuyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Lete ushahidiHuyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Huyu bwana anawapa shida sana CHADEMA TzKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Shaka kama Shaka, KaziiendeleeKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Wewe ni muongo kabisaHuyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Debe la nini?Huyu mpiga debe naye anahangaika sana
Nimeelewa kabisa,Shaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake