RiP BWM huyu ndio sliofanya Tanzania ya mifumo imara uwepo hata sasa unaona nchi imesimana inajielewa kusanyakodi na ajira ....sekta zote ....kabla huyu bwana nchi ilikuwa vurugu watu wanazamia kila siku kwenda ulaya mara SA baada 1999 hali ukibadilika sanaa....