Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 288
Ikumbukwe kwamba hivi karibuni katibu wa CCM itikadi na uenezi ndugu Shaka alienda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu(HESLB) akitaka kujua ukweli wa mambo juu ya wahitaji kutopata mikopo hivyo malalamiko kuzidi kua mengi.
Baadhi ya wahitaji wamefika ofisi za bodi lakini watumishi hawawajali kabisa yatima na maskini ambao wanakila aina ya uthibitisho.
Watumishi wanatoa majibu mabovu kama vile hela hizo nizao na wanawapa wanaowataka.
Ukweli nikwamba watumishi wa bodi hawana utu na hawataki viongozi wao wajuu wafikiwe.
Wawakilishi wa kanda kwenye bodi za mikopo nao baadhi wanajiona ni miungu watu.
Wapo wazee ambao niwatumishi wa umma wanapewa mikopo,wapo wanaotoka familia bora na wanamiliki magari lakini wanamikopo ila wapo wanaotoka kaya maskini,yatima nk wameomba mikopo na rufaa wanakata lakini hawawajali kabisa. HESLB kuna shida kubwa isipotazamwa kwa jicho la tatu wahitaji wataacha vyuo maana hawana mbadala
Ukweli nikwamba wahusika wameshindwa kutenda haki na hata fomu wanazojaza waombaji hazipitiwi kwa kina bali nadhani kuna wakati wanacheza ana ana dooo maana yake mwenye bahati atabahatisha na kinyume chake pia sawa
Kutatua changamoto hizi,lazima wawajibishwe wahusika wakiwemo
Waziri wa elimu, Mkurugenzi wa bodi hiyo na menejimenti yote. Waziri na katibu husika hawajaguswa kabisa na hii kero kama vile haiwahusu.
Mh.Shaka unayo nafasi ya kumshauri Mh.Rais aitazame upya HESLB nawengine wanaozembea.
Baadhi ya wahitaji wamefika ofisi za bodi lakini watumishi hawawajali kabisa yatima na maskini ambao wanakila aina ya uthibitisho.
Watumishi wanatoa majibu mabovu kama vile hela hizo nizao na wanawapa wanaowataka.
Ukweli nikwamba watumishi wa bodi hawana utu na hawataki viongozi wao wajuu wafikiwe.
Wawakilishi wa kanda kwenye bodi za mikopo nao baadhi wanajiona ni miungu watu.
Wapo wazee ambao niwatumishi wa umma wanapewa mikopo,wapo wanaotoka familia bora na wanamiliki magari lakini wanamikopo ila wapo wanaotoka kaya maskini,yatima nk wameomba mikopo na rufaa wanakata lakini hawawajali kabisa. HESLB kuna shida kubwa isipotazamwa kwa jicho la tatu wahitaji wataacha vyuo maana hawana mbadala
Ukweli nikwamba wahusika wameshindwa kutenda haki na hata fomu wanazojaza waombaji hazipitiwi kwa kina bali nadhani kuna wakati wanacheza ana ana dooo maana yake mwenye bahati atabahatisha na kinyume chake pia sawa
Kutatua changamoto hizi,lazima wawajibishwe wahusika wakiwemo
Waziri wa elimu, Mkurugenzi wa bodi hiyo na menejimenti yote. Waziri na katibu husika hawajaguswa kabisa na hii kero kama vile haiwahusu.
Mh.Shaka unayo nafasi ya kumshauri Mh.Rais aitazame upya HESLB nawengine wanaozembea.