Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Kwa hatua za awali kabisa nimeanza kuona wasiwasi alionao ndugu msemaji wa Chama mpaka kufikia hatua ya kumtambulisha Chongolo kama dokta na madokta wa kweli kutambulishwa kama ndugu tu.
Kwa tunaofahamu historia ya Ndg. Chongolo tumepata wasiwasi kuona utambulisho huo.
Je, kuna kilichofichwa juu ya elimu ya Chongolo ambacho hakipo wazi na leo Ndg.
Shaka kakiweka wazi au ni ulimi uliteleza?
Kwa tunaofahamu historia ya Ndg. Chongolo tumepata wasiwasi kuona utambulisho huo.
Je, kuna kilichofichwa juu ya elimu ya Chongolo ambacho hakipo wazi na leo Ndg.
Shaka kakiweka wazi au ni ulimi uliteleza?