Shaka: Kutembelea DIT mradi wa kufunga mfumo wa gesi kwenye magari (CNG)

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
ZIARA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka kutembelea mradi wa kufunga mfumo wa gesi (CNG) kwenye magari katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT).

#CCMImara
#KaziIendelee
 

Attachments

  • IMG-20220829-WA0000(1).jpg
    84.8 KB · Views: 7
Anaenda kuona namna gani ya kuweka tozo kwenye magari yanayotumia gasi...safari hii hakuna upenyo tozo hadi mchakae.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
ZIARA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka kutembelea mradi wa kufunga mfumo wa gesi (CNG) kwenye magari katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT).

#CCMImara
#KaziIendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…