Shakira Mdogo wa kiume

ZionTZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
1,283
Reaction score
541
Nani aliesema shakira ndo bingwa wa kusakata mauno in ze weldi?? tazama vitu anavyofanya dogo huyu, Ray C kafunikwa kabisaa hivi akikua itakuaje?? shakira cha mtoto hahahahahahhah

 
Last edited by a moderator:
ama kweli hivi ndio vipaji
 
Haka katoto kameniduwaza kwa kweli. Sina hamu. Kweli Mungu anagawa vipaji. Yaani anavokatika tena kwa kufuta mapigo. Duh! Akikua huyu utakuwa moto.
 
na pampasi zake lakini haelewi kitu. du si mchezo.ulaya hawahangaiki kumpeleka shule.
 
uh hii noma,afu kulikua na dogo mmoja hapo msasani club kwenye ngwasuma kila jumapili nae alikua anaondoka sebene ile mbaya
 
Kamekumbwa na pepo wa uharibifu at very vegetative age..he he
 
hahahahahahhaa........................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…