shallom great thinckers

D's of abraham

New Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2
Reaction score
0
mimi nimgeni, hapa kwenye hii forum, nimeipenda sana. mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, wafugaji mpo?? ambaye ana kuku aina ya Dorep na kenbro please anifahamishe.asanteni
 
wapendwa pia nahitaji kujua kuhusu mayai ya kware, je nikifuga kware mayai yanauzika kama ya kuku. natanguliza shukrani
 
Karibu sana JF...

Nenda jukwaa la ujasiriamali, biashara au matangazo uweke sredi yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…