D D's of abraham New Member Joined Feb 27, 2015 Posts 2 Reaction score 0 Feb 28, 2015 #1 mimi nimgeni, hapa kwenye hii forum, nimeipenda sana. mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, wafugaji mpo?? ambaye ana kuku aina ya Dorep na kenbro please anifahamishe.asanteni
mimi nimgeni, hapa kwenye hii forum, nimeipenda sana. mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, wafugaji mpo?? ambaye ana kuku aina ya Dorep na kenbro please anifahamishe.asanteni
D D's of abraham New Member Joined Feb 27, 2015 Posts 2 Reaction score 0 Feb 28, 2015 Thread starter #2 wapendwa pia nahitaji kujua kuhusu mayai ya kware, je nikifuga kware mayai yanauzika kama ya kuku. natanguliza shukrani
wapendwa pia nahitaji kujua kuhusu mayai ya kware, je nikifuga kware mayai yanauzika kama ya kuku. natanguliza shukrani
M MSHERWAMPAMBA JF-Expert Member Joined May 22, 2014 Posts 341 Reaction score 120 Mar 1, 2015 #3 Shalom na wewe.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Mar 1, 2015 #4 Karibu sana JF... Nenda jukwaa la ujasiriamali, biashara au matangazo uweke sredi yako...
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Mar 1, 2015 #5 Krb sana JF.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Mar 1, 2015 #6 Karibu sana jamvini
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Mar 1, 2015 #7 D's of abraham said: wapendwa pia nahitaji kujua kuhusu mayai ya kware, je nikifuga kware mayai yanauzika kama ya kuku. natanguliza shukrani Click to expand... Pitia jukwaa la biashara na uchumi
D's of abraham said: wapendwa pia nahitaji kujua kuhusu mayai ya kware, je nikifuga kware mayai yanauzika kama ya kuku. natanguliza shukrani Click to expand... Pitia jukwaa la biashara na uchumi
Bangsweezy JF-Expert Member Joined Jan 6, 2014 Posts 880 Reaction score 200 Mar 3, 2015 #9 Shalom Karibu JF