Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
Habari.
Kutakuwa na mpango wa kutembelea shamba darasa la bwawa la samaki katika eneo la kibaha kwa mathias katika siku ya jumatano tarehe kumi na tano, alhamisi na ijumaa kutembelea bwawa hilo na kujifunza ufugaji wa samaki wa maji baridi Pia mtajifunza ukulima wa kisasa wa maembe mbegu maalumu inayozalisha maembe mengi na matamu ndani ya muda mfupi.
Utajigharamia gharama za usafiri. Fee ni sh 50,000 ambayo itahusisha mafunzo ya bwawa la samaki na maembe na kupewa DVD bure inayofundisha mambo hayo. Kwa mawasiliano nitafute kwenye 0758308193
Mafunzo haya yatakuwezesha kuwa na bwawa hata kama una mtaji wa elfu hamsini yaani unajenga kulingana na urefu wa wallet yako
Kutakuwa na mpango wa kutembelea shamba darasa la bwawa la samaki katika eneo la kibaha kwa mathias katika siku ya jumatano tarehe kumi na tano, alhamisi na ijumaa kutembelea bwawa hilo na kujifunza ufugaji wa samaki wa maji baridi Pia mtajifunza ukulima wa kisasa wa maembe mbegu maalumu inayozalisha maembe mengi na matamu ndani ya muda mfupi.
Utajigharamia gharama za usafiri. Fee ni sh 50,000 ambayo itahusisha mafunzo ya bwawa la samaki na maembe na kupewa DVD bure inayofundisha mambo hayo. Kwa mawasiliano nitafute kwenye 0758308193
Mafunzo haya yatakuwezesha kuwa na bwawa hata kama una mtaji wa elfu hamsini yaani unajenga kulingana na urefu wa wallet yako