Shamba ekari 10 Kiwangwa: Nilifanyie Kilimo gani?

sirdelta

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
306
Reaction score
82
Kwa mara ya kwanza nimeweza nunua shamba langu ekari kumi Kiwangwa. Kwa kweli nimefurahi sana. Ila sasa wanajamvi nishaurini nifanye nini nilime nini Kiwangwa Mamboela.

Nimeona mashamba makubwa ya Mananasi. Je nizame huko?

Naomba msaada.
 
si uangalie uliponunua ni udongo gani,
 

Kiwangwa ufuta wanasema unakubali,mwenyewe nitalima ufuta feb hukohuko kiwangwa
 
Siyo mgumu kabisa ni udongo laini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…