Shamba ekari 2 na robo linauzwa. Shamba liko Mpiji Magohe mjini, Mbezi, Kinondoni. panafikika vizuri kwa gari - dk 15 toka Mbezi - na umeme na maji vipo. Ofa 20 miliion ila for serious buyers maongezi yapo. Piga 0715422594
Semi-finished house( ipo ktk renta).. Ina master, dinning, 2bed rooms, kitchen, public toilet na small store.. Ipo kunduchi mtongani(nyumba ya pili kutoka barabarani), bei inaanzia 25mil..(haina dalali) Mawasiliano;0714 58 14 49..