Frank Nzota
Member
- Jul 23, 2021
- 13
- 8
Umesema hivyo ili tujue umewahi kufika Rwanda?... ekari 500; ni karibu sawa na nchi ya Rwanda! Haya vijana mliokalia kucheza pool mijini, njooni vijijini tulime. Mkitaka mali mtaipata shambani.
Utakuta likijana na nguvu zake limetegesha bodaboda njia panda kuvizia wake za watu liwapeleke gengeni; fv#q!
Rwanda naingia almost kila siku kuchunga na kurudisha mifugo.Umesema hivyo ili tujue umewahi kufika Rwanda?
Kwa nn!! si unafuata taratibu zote kabla ya malipo. Kupigwa kupo sana lakini itakuwa mtu wa ajabu ununue shamba lote hilo bila kufuata taratibu wa SerikaliToo good to be true..anatafutwa mtu hapo kuangushiwa kitu kizito
π π π π... ekari 500; ni karibu sawa na nchi ya Rwanda! Haya vijana mliokalia kucheza pool mijini, njooni vijijini tulime. Mkitaka mali mtaipata shambani.
Utakuta likijana na nguvu zake limetegesha bodaboda njia panda kuvizia wake za watu liwapeleke gengeni; fv#q!
Something smelling fish πππToo good to be true..anatafutwa mtu hapo kuangushiwa kitu kizito
... fishy ...Something smelling fish πππ
Hayo maeneo ni mazuri sana kwa kilimo haswa cha miti na chai parachichi na hata mahindi nadhani.Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba mno,shamba lipo mkoani njombe tarafa ya Lupembe na miundombinu yote ikosafi kwa mawasiliano zaidi piga 0763165384.
View attachment 2527059View attachment 2527060View attachment 2527061View attachment 2527062View attachment 2527063View attachment 2527064View attachment 2527065View attachment 2527066