Plot4Sale Shamba Ekari 6.88 linauzwa Dundani - Mkuranga TZS. 45m

Manumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2019
Posts
1,244
Reaction score
697
Dundani ipo umbali mfupi kabla ya kufika Mkuranga Town ukiwa unatokea Mbagala.

Shamba lina ukubwa wa Ekari 6.88 Kama inavyoonekana ktk sketch map hapo chini.

Liko umbali wa kilomita 1 kutoka Barabara kubwa ya Dar - Lindi

Bei: TZS. 45m
Umiliki: Hati ya serikali za mitaa

Service charge ya kupelekwa site: TZS. 30,000 ( Utalipa baada ya kuona shamba na kujiridhisha na yote yaliyoandikwa hapa kulihusu

Mawasiliano: 0717 650800

View attachment 2619559
 
45m mkuranga kibiti loh!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…