Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au?Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50
Probablykwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au?
Weka referenceProbably
Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au?
Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure
Yeah!Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣
Inaruhusiwa kwa miaka 33 tuKijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50
Kasome sheria ya ardhi namba 4 na namba 5 ya mwaka 1999. Limit ya Kijiji ni ekari 50 tu. Ikizidi hata nusu ekari inakuwa ardhi ya jumla na siyo chini ya mamlaka ya Kijiji Tena.Inaruhusiwa kwa miaka 33 tu