Plot4Sale Shamba heka 100 linauzwa Tanga Tsh. Mil. 150

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Shamba linauzwa

Liko- Tanga Tanzania.

Mahali- Handeni

Eneo- Kabuku

Umbali km 6 toka barabara kuu ya lami.

Ukubwa wake ni heka 100

Nyaraka za umiliki lina hati ya kijiji.

Ndani yake lina;

Mifugo;-mbuzi 120, kuku 40

V

Mabanda pamoja na pikipiki za uendeshaji shambani.

Pamoja na mazao mbalimbali kama mahindi, mboga mboga nk.

Bei Tshs. mil 150.

Maongezi yapo.









 
Kazi Iendelee.
Ngoja wenye hela zao nyumbani kwenye majaba waje
 
Ndugu Mwekezaji imekuwaje tena unataka kuwakimbia Wazigua? Au umechoka kupigwa Zongo?
 
link ya post [emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]
Shamba heka 100 linauzwa Tanga Tsh. Mil. 150
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…