Plot4Sale Shamba Heka moja Bagamoyo njoo na Offer yako

Plot4Sale Shamba Heka moja Bagamoyo njoo na Offer yako

kulwa2020

Member
Joined
Jan 29, 2020
Posts
24
Reaction score
3
Habari za leo!

Kuna shamba linauzwa maeneo ya Kiromo Bagamoyo kilomita 5 kutoka Bagamoyo road.
Ukubwa wa shamba ni heka moja na limepandwa mihogo mwaka jana december.

Bei ni million 7.5 na unaweza kulipa yote kwa pamoja au kwa awamu tatu. Karibu sana na pia unaweza mwambia jirani yako.
Asante.
IMG-20200424-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo!

Kuna shamba linauzwa maeneo ya Kiromo Bagamoyo kilomita 5 kutoka Bagamoyo road.
Ukubwa wa shamba ni heka moja na limepandwa mihogo mwaka jana december.

Bei ni million 7.5 na unaweza kulipa yote kwa pamoja au kwa awamu tatu. Karibu sana na pia unaweza mwambia jirani yako.
Asante.View attachment 1455906

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiromo Bagamoyo ni wapi ukitokea Dar es salaam na ni upande wa kushoto au kulia, je pamepimwa au hapajapimwa, je barabara ipo kwa wakati wote, maji yanapatikanaje kwa mfano?

Kijiji gani kipo karibu na ni umbali gani mpaka ufike pahala palipo na umeme etc hayo ndio mambo muhimu kabla ya biashara kuanza
 
Shamba Heka moja la Mihogo bagamoyo Linauzwa 8

Habari za leo!

Kuna shamba linauzwa maeneo ya Kiromo Bagamoyo kilomita 5 kutoka Bagamoyo road.
Ukubwa wa shamba ni heka moja na limepandwa mihogo mwaka jana december.

Bei ni million 7.5 na unaweza kulipa yote kwa pamoja au kwa awamu tatu. Karibu sana na pia unaweza mwambia jirani yako.
Asante.View attachment 1455906

Sent using Jamii Forums mobile app

Njoo na Offer yako Shamba bado lipo 0652759293
IMG-20200424-WA0000.jpeg
 
Back
Top Bottom