Eneo la Mapinga nieneo linalokuwa kwa kasi sana. Na hii ni kwasababu Mapinga ipo karibu sana na Mbuju B. Viwand vingi na mashule yanafunguliwa kila kukicha. Watu wengi wanapapenda kwasababu ni karibu san na Dar.
Hili shamba lipo karibu na BAOBAO, barabara ya vikawe. Ni mita 400 kutoka barabarani. Ni tambarale.
Bei ni Tsh 37M.
Wasiliana nami kwa 0753021619.
Karibu.
Hili shamba lipo karibu na BAOBAO, barabara ya vikawe. Ni mita 400 kutoka barabarani. Ni tambarale.
Bei ni Tsh 37M.
Wasiliana nami kwa 0753021619.
Karibu.