Plot4Sale SHAMBA La Ecar 3.Mapinga.Linauzwa kwa Tsh 37 milion.

Plot4Sale SHAMBA La Ecar 3.Mapinga.Linauzwa kwa Tsh 37 milion.

TREPS one

Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
17
Reaction score
9
Eneo la Mapinga nieneo linalokuwa kwa kasi sana. Na hii ni kwasababu Mapinga ipo karibu sana na Mbuju B. Viwand vingi na mashule yanafunguliwa kila kukicha. Watu wengi wanapapenda kwasababu ni karibu san na Dar.

Hili shamba lipo karibu na BAOBAO, barabara ya vikawe. Ni mita 400 kutoka barabarani. Ni tambarale.

Bei ni Tsh 37M.

Wasiliana nami kwa 0753021619.

Karibu.
 
Mkuu kwa nini usilikatekate ili uliuze kwa haraka zaidi kwa staili hiyo itakulazimu uwauzie watu wenye makampuni Ili wakate wauze viwanja.
 
Linauzwa lote kwa pamoja. Atakaye linunua anaweza fanya hivyo
Mkuu kwa nini usilikatekate ili uliuze kwa haraka zaidi kwa staili hiyo itakulazimu uwauzie watu wenye makampuni Ili wakate wauze viwanja.
 
Linauzwa lote kwa pamoja. Atakaye linunua anaweza fanya hivyo
Biashara ya viwanja na nyumba imeendelea kudorora kwa siku za hivi karibuni.Kama huna haraka na pesa unaweza kusubiri, maana itakuchukua muda mrefu kupata mteja. Vinginevyo ungeuza vipande vipande pengine ungeweza kuuza kwa haraka
 
Back
Top Bottom