Plot4Sale Shamba la eka 30 linauzwa Tshs 12M

Alex Protase

Member
Joined
May 27, 2016
Posts
38
Reaction score
10
Ni shamba lililoko kwenye eneo linalokuwa kwa kasi kiuchumi linafaa kwa kilimo cha miti, matunda,ufugaji n.k, Liko jirani na Wakulima na wafugaji wakubwa wa Ihemi na ni jirani na barabara kubwa iendayo Mbeya, bei ni Tshs 12M ( Laki 4 kwa Eka) tu maongezi yapo. Ni Km 35 kutoka Iringa Mjini, km 2 kutoka barabara kuu hadi shambani, shamba liko Iringa vijijini, kwa mawasiliano piga 0688186936/0753543236
 

Attachments

  • IMG_20160526_181115.jpg
    33.7 KB · Views: 91
  • IMG_20160526_174836.jpg
    148.3 KB · Views: 59
Madalal wa mikoan wanafanyakazi kwa uwoga sana! Embu weka taarfa yako vizur
 
Ihemi iko km 35 kutoka Iringa Mjini kuelekea Mbeya, shamba liko Km 2 kutoka barabara kuu, eka 1 ni laki 4 tu, simu ni 0688186936/0753543236
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…