isakwisa og
Member
- Oct 4, 2020
- 31
- 19
Shamba la korosho lenye ukubwa wa hekari kumi na lenye mikorosho 300 ambapo mikorosho hiyo ni ya miaka mitatu na ipo tayari kwa kuanza kuvunwa, lipo ndani ya jiji la Dodoma, lipo mita 500 kutoka fence ya Ikulu ya Chamwino na kilomita 9 kutoka main road na km 10 kutoka mji wa kiserikali mtumba. Pia tayari limepimwa zaidi ya viwanja 40, lipo vizuri sana.
Bei ni milioni 200, maongezi yapo.
Kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0755713186 au 0653115302
Bei ni milioni 200, maongezi yapo.
Kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0755713186 au 0653115302