Shamba la kufugia kuku

mudy92

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
671
Reaction score
531
wasalaaaam!!

Mimi ni kijana wa miaka 24, muhitimu wa Shahada ya Elimu, na nimekulia katika mazingira ya ufugaji wa KUKU kwa kiwango cha kati!

Nilitaka ushauri toka kwenu kuhusu kuanzisha shamba la ufugaji wa KUKU wa KIENYEJII

1 je itanigharimu shilingi ngapi ( banda, chakula, nishati, na gharama za matibabu) kwa mara ya kwanza

ENEO NI SUMBAWANGA!!! hali ya hewa baridi kati ya june mpk july.... joto kiasi ktk miezi mingine
 
https://www.jamiiforums.com/ujasiri...wongozo-kwa-wafugaji-wa-kuku-wa-kienyeji.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…