Shamba la kukodi

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
631
Reaction score
592
Habari zenu wana janvi,
Shida yangu kubwa ni kutaka kujua/kufahamu upatikanaji wa shamba la kukodi hasa kwenye mikoa inayolimwa zao la shairi pia utaratibu unaofanywa na kampuni mbili zinazodhalisha bia yaani TBL na SBL kuhusu kilimo cha mkataba.
Maswali yangu ni haya
a. Upatikanaji wa mashamba ya kukodi katika sehemu linapolimwa zao hilo na gharama zake kwa eka na malipo yake.
b. Utaratibu unaofanyika ili kuweza kuingia katika kilimo cha mkataba na makampuni husika yaani TBL na SBL.
Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…