Plot4Sale Shamba la Mikorosho Mtwara

mwanagezi

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2021
Posts
285
Reaction score
439
Hakuna uwekezaji kama kuzika pesa ardhini, kuna SHAMBA kubwa la ekari 20 lina mikirosho tupu na mikubwa linauzwa kwa mill 45, maongezi yapo karibu Sana kwenye green minerals (karosho).

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Tangazo la kiujumla sana..Mtwara ipi? Ipo Mtwara kwa maana ya wilaya lakini pia Mtwara kwa maana mkoa wenye wilaya ambazo zote zinalima au zao la korosho linastawi..
Pili,kwa maana ya kibiashara ungeweka na zile Hesabu za kijasisiamali..yaani mti mmoja kilo kadhaa..kwa bei ya sh ....unaweza kupata kiasi kadha cha Fedha...
Unauza wakati huu kwa maana ziko na matunda tayari?
Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…