Plot4Sale Shamba la miti ya mbao linauzwa-Mufindi, Iringa

Plot4Sale Shamba la miti ya mbao linauzwa-Mufindi, Iringa

imeldaB

Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
39
Reaction score
67
Shamba la miti ya mbao ekari 80 linauzwa kijiji cha kibengu wilaya ya mufindi km 60 kutoka mafinga mjini, miti ina umri wa miaka sita.

Mahali panafikika kwa usafiri wa aina zote. Bei elekezi ni laki 9 kwa ekari 1 (miti pamoja na ardhi). Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa 0738118146 au 0717028992

IMG-20210218-WA0014.jpeg
IMG-20210218-WA0012.jpeg
IMG-20210218-WA0019.jpeg
 
Miti ina umri gani?
Kila heka ina miti mingapi?
Unaanza kukata kuanzia heka ngapi?
 
Back
Top Bottom