Duh Bwire naona umekuwa dalali vp nikikamata kichwa na mm nitaweza kupoozwa au?
Si unajua ukiwa mtu wa watu Fidel? wanakuja wengi wakiwa na matatizo mbalimbali na pale unapokwama kabisa unabaki kutoa ushauri tuu. Kwa hawa ndugu zangu kinachoweza kuwatoa mara nyingi its what they have on hands. They are just selling their assets baada ya ku- run out of options..