Plot4Sale Shamba linauzwa kasisiwe Sumbawanga

Plot4Sale Shamba linauzwa kasisiwe Sumbawanga

ILS

Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
24
Reaction score
10
Hekari 27

Limepimwa na lina hatimiki

Bei 180mln
IMG_20180414_192358.jpg
 
Sikukatishi tamaa ila natoa ushauri tu,Kwakua umeliita shamba vyovyote iwavyo umuhimu wake ni kilimo,sasa mil180 kiongozi wakati mapori vijijini unapata mpaka ths 50,000-100,000 kwa hekari!hata kama ni hio hati kwani gharama yakuipata ni ngapi chief?
Nitawekeza kilimo gani hapo ili nirudishe hip mil180 kwa wakati mkuu?
Tafakari upya vinginevyo hutapata mteja
 
Sikukatishi tamaa ila natoa ushauri tu,Kwakua umeliita shamba vyovyote iwavyo umuhimu wake ni kilimo,sasa mil180 kiongozi wakati mapori vijijini unapata mpaka ths 50,000-100,000 kwa hekari!hata kama ni hio hati kwani gharama yakuipata ni ngapi chief?
Nitawekeza kilimo gani hapo ili nirudishe hip mil180 kwa wakati mkuu?
Tafakari upya vinginevyo hutapata mteja

Labda kuna dhahabu. Kilimo chenyewe hichi kilichodharauliwa. Leo hii ununue shamba eka 27 kwa mili 180 utakuwa umetoka milembe
 
Kwani kila ekari bei gani, bei kubwa sana hiyo mkuu
 
Tshs 180,000,000/Heka 27
= Tshs 6,666,667/Heka 1
Tena Sumbawanga na irregular shape kisa tu limepimwa? Hapana aisee
 
Acha uchovu,kilimo chenyewe mahindi au ngano.sana sana labda wanunue kanisa kwa shilingi milioni 40 tu!
 
Acha uchovu,kilimo chenyewe mahindi au ngano.sana sana labda wanunue kanisa kwa shilingi milioni 40 tu!
Tatizo lenu ni ujuaji hivi eneo liloko jirani ya manipaa kwa muda mrefu lenye hatimiliki ya shamba na muuzaji ameliona lina umuhimu fulani kwanini asiuze bei anayotaka??
 
Hahaha, kwa bei hiyo nimeishia kucheka tu. Isitoshe, kwa kuwa Ina hati miliki itabidi kuibadilisha hiyo hati. Hapo kuna capital gain ya 10% ya thamani ya ardhi (mf. 10% ya 180m = 18m) bado mazagazaga mengine) mnunuzi anapaswa kulipa!! Hahaha, Sumbawanga huko!!!
 
Sikukatishi tamaa ila natoa ushauri tu,Kwakua umeliita shamba vyovyote iwavyo umuhimu wake ni kilimo,sasa mil180 kiongozi wakati mapori vijijini unapata mpaka ths 50,000-100,000 kwa hekari!hata kama ni hio hati kwani gharama yakuipata ni ngapi chief?
Nitawekeza kilimo gani hapo ili nirudishe hip mil180 kwa wakati mkuu?
Tafakari upya vinginevyo hutapata mteja
Mkuu tafadhari ni wapi unaweza kunilengesha mm nikapata shamba hata hekari 50 kwa elfu hamsini. Please mkuu nipo siliasi niambie khs hiyo fursa.
 
Sikukatishi tamaa ila natoa ushauri tu,Kwakua umeliita shamba vyovyote iwavyo umuhimu wake ni kilimo,sasa mil180 kiongozi wakati mapori vijijini unapata mpaka ths 50,000-100,000 kwa hekari!hata kama ni hio hati kwani gharama yakuipata ni ngapi chief?
Nitawekeza kilimo gani hapo ili nirudishe hip mil180 kwa wakati mkuu?
Tafakari upya vinginevyo hutapata mteja
Siyo lazima kulilima eneo lilipewa hati ya shamba lakini kwa sasa mji umelizunguka hivyo huwezi kulitumia kama shamna tena inabidi libadilishiwe matumizi,tusikalili!!
 
Labda kuna dhahabu. Kilimo chenyewe hichi kilichodharauliwa. Leo hii ununue shamba eka 27 kwa mili 180 utakuwa umetoka milembe
Ujuaji unawasumbua,ardhi thamani yake huongezeka kila mji unapolisogelea hili eneo limeshafikiwa na mji zaidi linaweza kutumika kwa shughuli nyingine sasa/kunadili matumizi
 
Umepewa ushauri fanyia kazi.

Ujuaji unawasumbua,ardhi thamani yake huongezeka kila mji unapolisogelea hili eneo limeshafikiwa na mji zaidi linaweza kutumika kwa shughuli nyingine sasa/kunadili matumizi
 
Mkuu tafadhari ni wapi unaweza kunilengesha mm nikapata shamba hata hekari 50 kwa elfu hamsini. Please mkuu nipo siliasi niambie khs hiyo fursa.
Sasa umeambiwa hili ni pori?
 
Mkuu tafadhari ni wapi unaweza kunilengesha mm nikapata shamba hata hekari 50 kwa elfu hamsini. Please mkuu nipo siliasi niambie khs hiyo fursa.
Ingia kwenye bei elekezi ya serikali utajua wapi yapo ya bei hiyo,watakuelekeza bure
 
Back
Top Bottom