Bei Sh ngapiWadau ninauza eneo la shamba lenye ukubwa wa ekari 3 lina mimea ya mikorosho na minazi; limepitiwa na bonde linalotiririsha maji hivyo laweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Eneo hilo lipo kitongoji cha Ngarambe Pemba, kijiji cha Magoza, kata ya Kiparang'anda, wastani ni umbali wa kilometa 8 kutoka Mkuranga Mjini. Barabara inapitika hadi shambani.
Walio tayari kufanya biashara tuwasiliane
Tuwasiliane vipi, kupitia WhatsApp! Unaficha nini kuweka taarifa nyingine!Wadau ninauza eneo la shamba lenye ukubwa wa ekari 3 lina mimea ya mikorosho na minazi; limepitiwa na bonde linalotiririsha maji hivyo laweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Eneo hilo lipo kitongoji cha Ngarambe Pemba, kijiji cha Magoza, kata ya Kiparang'anda, wastani ni umbali wa kilometa 8 kutoka Mkuranga Mjini. Barabara inapitika hadi shambani.
Walio tayari kufanya biashara tuwasiliane
Wadau ninauza eneo la shamba lenye ukubwa wa ekari 3 lina mimea ya mikorosho na minazi; limepitiwa na bonde linalotiririsha maji hivyo laweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Eneo hilo lipo kitongoji cha Ngarambe Pemba, kijiji cha Magoza, kata ya Kiparang'anda, wastani ni umbali wa kilometa 8 kutoka Mkuranga Mjini. Barabara inapitika hadi shambani.
Walio tayari kufanya biashara tuwasiliane
Laki kubwa sana punguza mkuu.Wadau ninauza eneo la shamba lenye ukubwa wa ekari 3 lina mimea ya mikorosho na minazi; limepitiwa na bonde linalotiririsha maji hivyo laweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Eneo hilo lipo kitongoji cha Ngarambe Pemba, kijiji cha Magoza, kata ya Kiparang'anda, wastani ni umbali wa kilometa 8 kutoka Mkuranga Mjini. Barabara inapitika hadi shambani.
Walio tayari kufanya biashara tuwasiliane
Asante kwa maoni mazuri, mawasiliano kwa simu/whatsap 0692-732695Tuwasiliane vipi, kupitia WhatsApp! Unaficha nini kuweka taarifa nyingine!
Sent using Jamii Forums mobile app